Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 20:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Walipofika kwenye jiwe kubwa lililoko huko Gibeoni, Amasa akatoka kuwalaki. Yoabu alikuwa amevaa vazi la kijeshi, na ndani ya vazi hilo kulikuwa na mkanda ulioshikilia upanga kiunoni mwake ukiwa kwenye ala yake. Yoabu alipokuwa anakaribia, upanga wake ulichomoka alani ukaanguka chini.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 20

Mtazamo 2 Samueli 20:8 katika mazingira