Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 20:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwambia Abishai, “Sasa, Sheba mwana wa Bikri, atatuletea madhara kuliko Absalomu. Chukua watumishi wangu, umfuatie Sheba asije akaingia kwenye miji yenye ngome akaponyoka, tusimwone tena.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 20

Mtazamo 2 Samueli 20:6 katika mazingira