Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 20:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Hatimaye, Daudi aliwasili nyumbani kwake mjini Yerusalemu. Mfalme aliwachukua masuria wake kumi ambao alikuwa amewaacha kuangalia nyumba yake, akawaweka kwenye nyumba moja chini ya ulinzi, akawatunza vizuri, lakini hakulala nao. Hivyo, masuria hao wakawa wametiwa ndani hadi siku za kufa kwao, wakaishi kana kwamba, walikuwa wajane.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 20

Mtazamo 2 Samueli 20:3 katika mazingira