Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 20:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Amasa alikuwa bado anagagaa kwenye damu yake katikati ya barabara kuu. Kwa hiyo, kila mtu aliyepita hapo, alipomwona, alisimama. Lakini yule mtu alipoona kwamba watu wote walikuja na kusimama hapo, aliuondoa mwili wa Amasa barabarani, akaupeleka shambani na kuufunika kwa nguo.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 20

Mtazamo 2 Samueli 20:12 katika mazingira