Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 20:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa ikawa kwamba huko Gilgali kulikuwa na mtu mmoja mlaghai aitwaye Sheba mwana wa Bikri, Mbenyamini. Basi Sheba alipiga tarumbeta, na kusema,“Hatuna fungu lolote kwa Daudi,hatuna sehemu yetu katika huyo mwana wa Yese.Enyi watu wa Israeli,kila mmoja na ajiendee hemani kwake!”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 20

Mtazamo 2 Samueli 20:1 katika mazingira