Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 2:31-32 Biblia Habari Njema (BHN)

31. Lakini watumishi wa Daudi walikuwa wamewaua watu 360 kutoka kabila la Benyamini pamoja na watu wa Abneri.

32. Yoabu na watu wake waliuchukua mwili wa Asaheli, wakauzika kwenye kaburi la baba yake, lililoko huko Bethlehemu. Yoabu na watu wake walitembea usiku kucha, na kulipokucha wakafika mjini Hebroni.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 2