Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoabu mwana wa Seruya na watumishi wengine wa Daudi, nao walitoka na kukutana na Abneri na watu aliokuwa nao kwenye bwawa lililoko huko Gibeoni. Kikosi kimoja upande mmoja wa bwawa na kingine upande mwingine.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 2

Mtazamo 2 Samueli 2:13 katika mazingira