Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 19:43 Biblia Habari Njema (BHN)

Watu wa Israeli wakawajibu watu wa Yuda, “Tuna haki mara kumi juu ya mfalme, kuliko mlizo nazo nyinyi, na hata juu ya Daudi mwenyewe. Kwa nini, basi, mlitudharau? Je, sisi hatukuwa wa kwanza kusema kuwa mfalme wetu arudishwe?” Maneno ya watu wa Yuda yalikuwa makali kuliko maneno ya watu wa Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 19

Mtazamo 2 Samueli 19:43 katika mazingira