Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 19:37 Biblia Habari Njema (BHN)

Nakuomba, uniruhusu mimi mtumishi wako, nifie katika mji wangu, karibu na kaburi la baba yangu na mama yangu. Lakini huyu mtumishi wako Kimhamu, mruhusu aende pamoja nawe bwana wangu mfalme, na mtendee yeye lolote unaloona ni jema.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 19

Mtazamo 2 Samueli 19:37 katika mazingira