Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 19:26 Biblia Habari Njema (BHN)

Mefiboshethi akasema, “Ee bwana wangu mfalme, mtumishi wangu alinidanganya. Maana, mimi mtumishi wako, nilimwambia, ‘Nitandikie punda nipate kumpanda kwenda pamoja na mfalme,’ maana mimi mtumishi wako ni kilema.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 19

Mtazamo 2 Samueli 19:26 katika mazingira