Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 19:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Mefiboshethi mjukuu wa Shauli, alikwenda pia kumlaki mfalme Daudi. Tangu siku ile mfalme alipoondoka Yerusalemu mpaka aliporudi salama, Mefiboshethi alikuwa hajapata kuosha miguu yake, kukata ndevu zake na hakujali kufua nguo zake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 19

Mtazamo 2 Samueli 19:24 katika mazingira