Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 19:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, wakavuka kwenye kivuko ili kuisindikiza jamaa ya mfalme na kumfanyia mfalme yote aliyoyapenda. Shimei mwana wa Gera akaja, akajitupa mbele ya mfalme, akasujudu, wakati mfalme alipokuwa karibu kuvuka mto Yordani.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 19

Mtazamo 2 Samueli 19:18 katika mazingira