Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 18:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akawaamuru Yoabu, Abishai na Itai, “Kwa ajili yangu, mtendeeni yule kijana Absalomu kwa upole.” Watu wote walimsikia mfalme alipoamuru makamanda wake kuhusu Absalomu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 18

Mtazamo 2 Samueli 18:5 katika mazingira