Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 18:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Hapo mfalme alishikwa na huzuni kuu, akapanda kwenye chumba kilichokuwa juu ya lango na kulia. Alipokuwa anapanda, akawa analia akisema, “Mwanangu Absalomu, mwanangu Absalomu! Laiti ningalikufa badala yako! Ole, Absalomu mwanangu! Mwanangu!”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 18

Mtazamo 2 Samueli 18:33 katika mazingira