Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 17:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Zaidi ya hayo, Hushai akamwambia, “Wewe unajua kwamba baba yako na watu wake ni mashujaa na kwamba wamekasirishwa kama dubu jike nyikani aliyenyanganywa watoto wake. Mbali na hayo, unajua kwamba baba yako ni bingwa wa vita. Yeye hatakaa usiku kucha pamoja na watu wake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 17

Mtazamo 2 Samueli 17:8 katika mazingira