Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 17:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hushai alipofika kwa Absalomu, Absalomu alimwuliza, “Hivyo ndivyo alivyosema Ahithofeli. Je, tufanye kama alivyotushauri? Kama sivyo, basi, tuambie lako.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 17

Mtazamo 2 Samueli 17:6 katika mazingira