Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 17:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Ahithofeli alipoona kwamba shauri lake halikufuatwa, alitandika punda wake, akaenda nyumbani, kwenye mji wake. Alipofika huko, alipanga vizuri mambo ya nyumbani kwake, akajinyonga. Akafariki na kuzikwa kwenye kaburi la baba yake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 17

Mtazamo 2 Samueli 17:23 katika mazingira