Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 17:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Watumishi wa Absalomu walipowasili kwa huyo mwanamke, wakamwambia, “Wako wapi Ahimaasi na Yonathani?” Yule mwanamke akawaambia, “Wamekwenda ngambo ya kijito.” Walipowatafuta na kuwakosa, wakarudi mjini Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 17

Mtazamo 2 Samueli 17:20 katika mazingira