Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 16:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Abishai mwana wa Seruya, akamwambia mfalme, “Kwa nini huyu mbwa mfu akulaani wewe bwana wangu mfalme? Niruhusu nimwendee, nami nitakikata kichwa chake.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 16

Mtazamo 2 Samueli 16:9 katika mazingira