Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 16:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hizo, shauri lolote alilotoa Ahithofeli lilikuwa kama limetolewa na Mungu. Na shauri alilotoa Ahithofeli liliheshimiwa na Daudi na Absalomu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 16

Mtazamo 2 Samueli 16:23 katika mazingira