Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 16:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena mfalme Daudi akamwambia Abishai na hata watumishi wake wote, “Ikiwa mtoto wangu mwenyewe anayawinda maisha yangu, je si zaidi mtu wa kabila la Benyamini? Nyinyi mwacheni anilaani kwani Mwenyezi-Mungu amemwagiza anilaani.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 16

Mtazamo 2 Samueli 16:11 katika mazingira