Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 15:19 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, mfalme Daudi alipomwona Itai, Mgiti, alimwambia, “Kwa nini hata wewe umeondoka pamoja nasi? Rudi ukakae na huyo mfalme kijana. Maana wewe ni mgeni huku, tena ni mkimbizi kutoka nyumbani kwenu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 15

Mtazamo 2 Samueli 15:19 katika mazingira