Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 14:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa ndugu zangu wote wamenigeuka mimi mtumishi wako; wanataka nimtoe kwao mtoto aliyemuua mwenzake ili wamuue kwa kuyaangamiza maisha ya ndugu yake. Hivyo, watamuua huyu ambaye sasa ndiye mrithi. Wakifanya hivyo, watazima kabisa tumaini langu lililobakia, na mume wangu hataachiwa jina wala mzawa duniani.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 14

Mtazamo 2 Samueli 14:7 katika mazingira