Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 14:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Nami mjakazi wako nilifikiri kuwa, ‘Neno lake bwana wangu mfalme litanipa amani moyoni, kwani wewe bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu katika kupambanua mema na mabaya.’ Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, awe pamoja nawe.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 14

Mtazamo 2 Samueli 14:17 katika mazingira