Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 14:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Yule mwanamke akamwambia, “Tafadhali, mfalme, niombee kwa Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, ili yule ndugu yangu ambaye angelipiza kisasi cha mauaji ya mwanangu asifanye hatia nyingine kubwa ya kumwua yule mtoto wangu mwingine.” Mfalme Daudi akamwambia, “Kama Mwenyezi-Mungu aishivyo, hakuna hata unywele mmoja wa mwanao utakaoanguka chini.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 14

Mtazamo 2 Samueli 14:11 katika mazingira