Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 13:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, Amnoni akaendelea kulala kitandani, akijifanya mgonjwa. Mfalme alipokwenda kumwona, Amnoni alimwambia, “Nakuomba, Tamari aje hapa anitengenezee mikate michache huku nikimwangalia. Halafu yeye mwenyewe anilishe.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 13

Mtazamo 2 Samueli 13:6 katika mazingira