Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 13:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Yonadabu akamwambia Amnoni, “Wewe ni mtoto wa mfalme, kwa nini unakonda na unaonekana huna furaha kila siku? Mbona hutaki kuniambia.” Amnoni akamwambia, “Nampenda Tamari, dada ya ndugu yangu Absalomu.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 13

Mtazamo 2 Samueli 13:4 katika mazingira