Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 13:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yonadabu, mwana wa Shimea, ndugu ya Daudi akamwambia, “Bwana wangu, usifikiri kuwa wanao wote wameuawa. Amnoni pekee ndiye aliyeuawa. Haya Absalomu aliyakusudia kuyafanya tangu wakati ule Amnoni alipomshika kwa nguvu dada yake Tamari na kulala naye.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 13

Mtazamo 2 Samueli 13:32 katika mazingira