Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 13:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme akamjibu, “Sivyo, mwanangu, tusiende wote; tusije tukawa mzigo kwako.” Ingawa Absalomu alizidi kumsihi baba yake aende, lakini mfalme alikataa, ila alimpa baraka zake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 13

Mtazamo 2 Samueli 13:25 katika mazingira