Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 13:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Amnoni na yule kijana wakamtoa nje na kuufunga mlango kwa komeo. Tamari alikuwa amevaa vazi refu lenye mikono mirefu kwani hivyo ndivyo walivyovaa mabikira wa mfalme zamani hizo.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 13

Mtazamo 2 Samueli 13:18 katika mazingira