Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 12:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi Mwenyezi-Mungu akamtuma nabii Nathani kwa Daudi. Nathani alimwendea Daudi, akamwambia, “Kulikuwa na wanaume wawili katika mji mmoja; mmoja alikuwa tajiri na mwingine alikuwa maskini.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 12

Mtazamo 2 Samueli 12:1 katika mazingira