Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 11:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Nani alimuua Abimeleki mwana wa Yerubeshethi? Si alikuwa mwanamke mmoja mjini Thebesi ambaye alitupa jiwe la kusagia kutoka kwenye ukuta nalo likamuua Abimeleki? Kwa nini basi, mlikwenda karibu na ukuta?’ Basi, wewe utamwambia hivi, ‘Hata mtumishi wako Uria Mhiti, naye amekufa.’”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 11

Mtazamo 2 Samueli 11:21 katika mazingira