Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 11:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Uria alimjibu Daudi “Sanduku la agano, pamoja na majeshi yote ya Israeli na Yuda yanakaa kwenye vibanda vitani. Bwana wangu Yoabu na watumishi wake wote wamepiga kambi mbugani; je ni sawa mimi niende nyumbani nikale na kunywa na kulala na mke wangu? Kama uishivyo na roho yako inavyoishi, sitafanya kitu cha namna hiyo.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 11

Mtazamo 2 Samueli 11:11 katika mazingira