Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 10:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Waamoni walipoona kuwa wamemchukiza Daudi, walikodi wanajeshi Waaramu 20,000 waendao kwa miguu, kutoka Beth-rehobu na Soba; wanajeshi 12,000, kutoka Tobu, na mfalme Maaka akiwa na wanajeshi 1,000.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 10

Mtazamo 2 Samueli 10:6 katika mazingira