Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 10:3 Biblia Habari Njema (BHN)

wakuu wa Waamori walimwambia bwana wao, Hanuni, “Je, unadhani kwamba Daudi kwa kukutumia watu wa kukufariji anamheshimu baba yako? Je, Daudi hakuwatuma watu hawa kwako ili kuuchunguza na kuupeleleza mji halafu wauteke?”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 10

Mtazamo 2 Samueli 10:3 katika mazingira