Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 10:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Hadadezeri aliagiza Waaramu waliokuwa ngambo ya mto Eufrate waletwe, wapelekwe huko Helamu wakiongozwa na Shobaki kamanda wa jeshi la Hadadezeri.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 10

Mtazamo 2 Samueli 10:16 katika mazingira