Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 1:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akamwambia, “Niambie mambo yalivyokuwa huko.” Yule mtu akamjibu, “Watu wetu wameyakimbia mapigano na wengi wetu wameuawa. Zaidi ya hayo, Shauli na mwanawe Yonathani pia wameuawa.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 1

Mtazamo 2 Samueli 1:4 katika mazingira