Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 1:21 Biblia Habari Njema (BHN)

“Enyi milima ya Gilboa,msiwe na umande au mvua juu yenu.Wala mashamba yenu daima yasitoe chochote.Maana huko ngao za shujaa zilitiwa najisi,ngao ya Shauli haikupakwa mafuta.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 1

Mtazamo 2 Samueli 1:21 katika mazingira