Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 1:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, nilikwenda karibu naye na kumuua, kwa sababu nilikuwa na uhakika kuwa akianguka chini, hataweza kuishi zaidi. Lakini taji iliyokuwa kichwani pake na kikuku kilichokuwa mkononi mwake, vyote nimekuletea wewe, bwana wangu.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 1

Mtazamo 2 Samueli 1:10 katika mazingira