Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 8:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Akifuata maagizo ya Daudi baba yake, alipanga zamu za kila siku za makuhani na za Walawi waliowasaidia makuhani kusifu na kuzitekeleza kazi zao. Kadhalika aliwapanga walinda malango katika makundi aliyoyaweka kulinda kila lango; maana ndivyo alivyoamuru Daudi, mtu wa Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 8

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 8:14 katika mazingira