Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 8:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Solomoni alimhamisha binti Farao mfalme wa Misri, kutoka mji wa Daudi, akampeleka kwenye nyumba aliyomjengea. Alisema, “Mke wangu hataishi katika nyumba ya Daudi mfalme wa Israeli, kwa maana mahali pote ambapo sanduku la Mwenyezi-Mungu limekuwa, ni patakatifu.”

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 8

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 8:11 katika mazingira