Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 7:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Makuhani walisimama mahali maalumu walipoagizwa kusimama, nao Walawi walisimama wakiwa na vyombo vya Mwenyezi-Mungu vya muziki mfalme Daudi alivyovitengeneza kwa ajili ya kutoa shukrani kwa Mwenyezi-Mungu. Waliimba, “Kwa kuwa fadhili zake zadumu milele,” Daudi alivyowaagiza. Makuhani walipiga tarumbeta hali Waisraeli wote walikuwa wamesimama.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 7

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 7:6 katika mazingira