Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 7:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku iliyofuata ambayo ilikuwa siku ya ishirini na tatu ya mwezi wa saba, Solomoni aliwaaga watu waende kwao, wakishangilia na kufurahi moyoni kwa sababu ya wema ambao Mwenyezi-Mungu aliowajalia Daudi, Solomoni na watu wake Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 7

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 7:10 katika mazingira