Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 6:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Ndipo Solomoni akasema,“Mwenyezi-Mungu alisema ya kwambaatakaa katika giza nene.

2. Hakika nimekujengea nyumba tukufu,mahali pa makao yako ya milele.”

3. Kisha Solomoni akaigeukia jumuiya yote ya watu wa Israeli wakiwa wamesimama, akawabariki.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 6