Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 5:2-4 Biblia Habari Njema (BHN)

2. Basi mfalme Solomoni akawakutanisha Yerusalemu wazee na viongozi wote wa makabila na wa koo za Israeli ili waliondoe sanduku la agano la Mwenyezi-Mungu kutoka katika mji wa Daudi, yaani Siyoni.

3. Ndipo wote walipokutana mbele ya mfalme katika sikukuu ya mwezi wa saba.

4. Baada ya wazee wote wa Israeli kuwasili, Walawi walilibeba sanduku la agano,

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 5