Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 4:21-22 Biblia Habari Njema (BHN)

21. maua, taa na koleo, vyote vikiwa vya dhahabu safi kabisa;

22. mikasi na mabirika, visahani vya ubani na vyetezo vya kubebea moto, vyote vya dhahabu safi. Pete za hekalu za milango ya mahali pale patakatifu sana, na za milango mingine ya ukumbi, zote zilitengenezwa kwa dhahabu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 4