Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 36:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha mfalme wa Misri akamweka Eliakimu, nduguye Yehoahazi, kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu, akabadilisha jina lake kuwa Yehoyakimu; lakini Neko akamtwaa Yehoahazi nduguye mpaka Misri.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 36

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 36:4 katika mazingira