Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 36:14 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata makuhani, viongozi wa Yuda pamoja na watu walikosa uaminifu kabisa wakiiga matendo yote ya kuchukiza ya watu wa mataifa mengine; waliichafua nyumba ya Mwenyezi-Mungu ambayo yeye mwenyewe alikuwa ameitakasa huko Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 36

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 36:14 katika mazingira