Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 34:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa nne wa utawala wake, mfalme Yosia, akiwa bado kijana, alianza kumwabudu Mungu wa Daudi, baba yake. Baadaye alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili alianza kuisafisha Yuda na Yerusalemu kwa kuharibu mahali pa kuabudia miungu mingine, sanamu za Ashera, na sanamu nyinginezo za kuchonga na za kusubu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 34

Mtazamo 2 Mambo Ya Nyakati 34:3 katika mazingira