Agano la Kale

Agano Jipya

2 Mambo Ya Nyakati 34:27-29 Biblia Habari Njema (BHN)

27. Kwa kuwa umetubu na kunyenyekea mbele yangu, hata umerarua mavazi yako na kulia uliposikia maneno yangu dhidi ya mahali hapa, na dhidi ya wakazi wake, na umejinyenyekesha mbele yangu, nami pia nimekusikia.

28. Adhabu ambayo nitailetea Yerusalemu, sitaileta wakati wa uhai wako. Utawala wako utakuwa wa amani.’” Basi, wajumbe wakamletea mfalme Yosia habari hizi.

29. Kisha mfalme Yosia aliita na kukusanya viongozi wote wa Yuda na Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Mambo Ya Nyakati 34